VIDEO:TAZAMA WANAJESHI WA MPAKANI WALIVYOWASILI NA NDINGA YAO KWA MKAPA

MASTAA wa Biashara United leo Oktoba 13 walikuwa na kazi ya kufanya Uwanja wa Mkapa ikiwa ni maandalizi ya mechi yao ya kimataifa dhidi ya Al Ahly Tripol ya Libya unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 15, Uwanja wa Mkapa. 

Wanajeshi hao wa mpakani waliwasili namna hii Uwanja wa Mkapa na ndinga yao. 

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI