VIDEO:TAZAMA NAMNA WANAJESHI WA MPAKANI WANAVYOWAVUTIA KASI AL AHLY TRIPOL


BIASHARA united wanajiita Wanajeshi wa Mpakani wana kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Ahly Tripol ya Libya unaotarajiwa kuchezwa kesho, Oktoba 15 Uwanja wa Mkapa.

 Wachezaji hao wameendelea kuwavutia kasi wapinzani wao kwa kufanya mazoezi Uwanja wa Mkapa.Miongoni mwa nyota hao ni pamoja na Duchu,Redondo,James Ssetuba ambao wapo Dar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo huo.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI