VIDEO:NYOTA WA BIASHARA UNITED WAFUNGUKA BAADA YA KUGAWANA POINTI MOJAMOJA NA SIMBA

NAHODHA wa Biashara United, Abdulmajid Mangalo amesema kuwa walikuwa na mchezo mgumu katika kazi yao ya kusaka ushindi mbele ya Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja Karume ,Mara ambapo ulikamilika kwa timu hizo kutofungana na kugawana pointi mojamoja. 

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA