VIDEO:NYOTA WA BIASHARA UNITED WAFUNGUKA BAADA YA KUGAWANA POINTI MOJAMOJA NA SIMBA

NAHODHA wa Biashara United, Abdulmajid Mangalo amesema kuwa walikuwa na mchezo mgumu katika kazi yao ya kusaka ushindi mbele ya Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja Karume ,Mara ambapo ulikamilika kwa timu hizo kutofungana na kugawana pointi mojamoja. 

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI