VIDEO:KUMBE SABABU YA SIMBA KUFUNGWA NA YANGA NI LUIS NA CHAMA

SHABIKI wa Simba kutoka Dodoma ameweka wazi kuwa alikuwa anaipenda Simba tangu akiwa mdogo na alikuwa anaacha mifungo ili aweze kutazama Simba wakicheza, pia amesema kuwa walishindwa kufunga mbele ya Yanga kwa sababu viungo wawili walikuwa wameondoka ambao ni Luis Miquissone na Clatous Chama.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI