VIDEO:KOCHA BIASHARA UNITED ABAINISHA WALIKUWA WANAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA

KOCHA wa Biashara United ya Mara ameweka wazi kuwa walikuwa wanahitaji pointi tatu mbele ya Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Karume ila kwa walichokipata wanashukuru Mungu kwani mchezo ulikuwa na ushindani na timu zote zilikuwa zinahitaji ushindi.

 



Comments

Popular posts from this blog

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

KOCHA BIASHARA UNITED: WACHEZAJI NIMEWAPA KAZI YA KUPAMBANA NA JEZI YA NJANO

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI