VIDEO:KOCHA BIASHARA UNITED ABAINISHA WALIKUWA WANAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA

KOCHA wa Biashara United ya Mara ameweka wazi kuwa walikuwa wanahitaji pointi tatu mbele ya Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Karume ila kwa walichokipata wanashukuru Mungu kwani mchezo ulikuwa na ushindani na timu zote zilikuwa zinahitaji ushindi.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO