VIDEO:KIPA ALIYEIOKOA PENALTI YA BOCCO ATAJA KILICHOMBEBA

JAMES Ssetupa kipa namba moja wa Biashara United amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kumpa nguvu ya kufanya vizuri kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba uliochezwa Uwanja wa Karume, Mara ambapo aliweza kuikoa penalti ya nahodha wa Simba, John Bocco na kuwafanya wagawane pointi mojamoja.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA