VIDEO:BIASHARA UNITED WAWACHAMBUA NYOTA WAPYA WA SIMBA

MASHABIKI wa Biashara United wameweka wazi kuwa walikuwa wanahitaji ushindi mbele ya Simba ila ilikuwa ngumu kwao kwa kuwa waliamua kuwahurumia Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Karume, Mara.

Pia wamewachambua nyota wapya wa Simba wakimtaja Yusuph Mhilu kuwa miongoni mwa wachezaji wenye uwezo mkubwa huku wengine ikiwa ni majina tu.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO