VIDEO:BIASHARA UNITED WAWACHAMBUA NYOTA WAPYA WA SIMBA

MASHABIKI wa Biashara United wameweka wazi kuwa walikuwa wanahitaji ushindi mbele ya Simba ila ilikuwa ngumu kwao kwa kuwa waliamua kuwahurumia Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Karume, Mara.

Pia wamewachambua nyota wapya wa Simba wakimtaja Yusuph Mhilu kuwa miongoni mwa wachezaji wenye uwezo mkubwa huku wengine ikiwa ni majina tu.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI