VIDEO:JULIO AWAPONGEZA YANGA KWA SHUGHULI YA WIKI YA MWANANCHI

JULIO amewapa pongezi Yanga kwa kufanya tamasha lao jana Agosti 29, Uwanja wa Mkapa ambalo liliwakusanya mashabiki wengi kutoka Tanzania na ilicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Zanaco na ubao ulisoma Yanga 1-2 Zanaco.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA