AZAM FC WAMPA DILI LA MWAKA MMOJA BEKI MCAMEROON


KIKOSI cha Azam FC kilifunga dirisha la usajili kwa ajili ya msimu wa 2021/22 katika Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikiho na mashindano mengine ambayo watashiriki.

 Ni usajili wa beki wa kati raia wa Cameroon, Yvan Lionnel Mballa alifunga usajili kwa timu hiyo ambayo imeweka kambi nchini Zambia.

Ni dili la mwaka mmoja kasaini beki huyo akitokea Klabu ya Forest Rangers ya Zambia.

Mballa amefunga zoezi la usajili kwenye dirisha lililofungwa usiku wa Agosti 31.



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO