ZIDANE ANAWEZA KUIBUKIA UFARANSA


ZINEDINE Zidane aliyekuwa Kocha Mkuu wa Real Madrid imeelezwa kuwa huenda akawa Kocha Mkuu wa  Ufaransa.

Timu ya taifa ya Ufaransa inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Deschamps amekiongoza kikosi hicho kuenguliwa kwenye hatua ya 16 bora ya Euro 2020.

Ufaransa iliondolewa kwenye Euro 2020 kwa penalti 5-4 dhidi ya Uswisi baada ya dk 90 ubao kuwa 3-3.

Timu hiyo ilikuwa inapewa nafasi ya kutwaa taji hilo lililokuwa mikononi mwa Ureno ambayo nayo pia ilitolewa.




Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO