VIDEO: SIMBA, TUNASHINDA MBELE YA YANGA, WACHEZAJI WOTE WAPO SAWA

OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa wanaamini kwamba kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, Julai 3 watashinda na kuchukua pointi tatu pamoja na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA