VIDEO: MZEE MPILI USO KWA USO NA INJINIA, MECHI DHIDI YA SIMBA WANA IMANI YA KUSHINDA

MZEE Mpili,Mwanachama wa Yanga amekutana na Injinia Hersi Said ambaye ni Makamu Mwenyekiti katika masuala ya Usajili ndani ya Yanga, kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Julai 3, Mzee Mpili amesema kuwa ana watu na wana amini kwamba watashinda mchezo huo.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO