VIDEO: MZEE MPILI USO KWA USO NA INJINIA, MECHI DHIDI YA SIMBA WANA IMANI YA KUSHINDA

MZEE Mpili,Mwanachama wa Yanga amekutana na Injinia Hersi Said ambaye ni Makamu Mwenyekiti katika masuala ya Usajili ndani ya Yanga, kuelekea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Julai 3, Mzee Mpili amesema kuwa ana watu na wana amini kwamba watashinda mchezo huo.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA