VIDEO: MASHABIKI YANGA WAMCHONGEA MO KWA MANJI

MARA baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji kuibuka kwenye mkutano mkuu wa Wanachama wa Yanga, mashabiki wamemsemea bosi huyo kuhusu suala la Mohamed Dewji wa Simba, 'Mo' kuwaonea hasa katika masuala ya uwekezaji ambao umefanywa na wapinzani wao Simba jambo lililowafanya wamuombe arudi tena.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO