VIDEO: MASHABIKI YANGA WAMCHONGEA MO KWA MANJI

MARA baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji kuibuka kwenye mkutano mkuu wa Wanachama wa Yanga, mashabiki wamemsemea bosi huyo kuhusu suala la Mohamed Dewji wa Simba, 'Mo' kuwaonea hasa katika masuala ya uwekezaji ambao umefanywa na wapinzani wao Simba jambo lililowafanya wamuombe arudi tena.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI