VIDEO: KARIA MGOMBEA PEKEE NAFASI YA URAIS, WENGINE WAPIGWA CHINI MAZIMA

LEO Juni 29, Kamati ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kupitia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Benjamini Kalume imetangaza majina ya wagombea ambao wamepita kwenye mchujo wa awali huku kwa upade wa nafasi ya Uraisi ni Wallace Karia amepitishwa peke yake kwa maelezo kuwa amekidhi vigezo na wengine watatu wakipigwa chini mazima.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO