VIDEO: KARIA MGOMBEA PEKEE NAFASI YA URAIS, WENGINE WAPIGWA CHINI MAZIMA

LEO Juni 29, Kamati ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kupitia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Benjamini Kalume imetangaza majina ya wagombea ambao wamepita kwenye mchujo wa awali huku kwa upade wa nafasi ya Uraisi ni Wallace Karia amepitishwa peke yake kwa maelezo kuwa amekidhi vigezo na wengine watatu wakipigwa chini mazima.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA