VIDEO: HAJI MANARA AWEKA WAZI KUWA WATAWAFUNGA YANGA MABAO MATATU

OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Yanga, Julai 3 wanaweza kuwafunga mabao matatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. 

Ameweka wazi kuwa jambo la msingi kwa waamuzi ni kufuata kanuni na kwa namna walivyojipanga basi hazitapungua tatu.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO