KARIA APITISHWA MCHUJO WA UGOMBEA URAIS TFF


MGOMBEA wa nafasi ya Urais katika Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) Wallace Karia amepenya kwenye mchujo wa awali na kumfanya awe mgombea pekee wa Urais wa TFF.

Hii ni baada ya Hawa Mniga pamoja na Evance Mgeusa kikosa vigezo vinavyokidhi kwenda hatua inayofuata baada ya mchujo uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya TFF.

Kwa maana hiyo Wallace Karia anasubiri kwenda kuthibitishwa na Mkutano mkuu na si kumpigia Kura.

Kwa mujibu wa Benjamin Kalume Makamu Mwenyekiti kamati ya Uchaguzi TFF.


Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO