KARIA APITISHWA MCHUJO WA UGOMBEA URAIS TFF


MGOMBEA wa nafasi ya Urais katika Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) Wallace Karia amepenya kwenye mchujo wa awali na kumfanya awe mgombea pekee wa Urais wa TFF.

Hii ni baada ya Hawa Mniga pamoja na Evance Mgeusa kikosa vigezo vinavyokidhi kwenda hatua inayofuata baada ya mchujo uliofanywa na Kamati ya Uchaguzi ya TFF.

Kwa maana hiyo Wallace Karia anasubiri kwenda kuthibitishwa na Mkutano mkuu na si kumpigia Kura.

Kwa mujibu wa Benjamin Kalume Makamu Mwenyekiti kamati ya Uchaguzi TFF.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI