VIDEO: YANGA KUSUKA UPYA KIKOSI CHAKE, KUNA BEKI MBENINI PIA AINGIA ANGA ZAO

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kusuka kikosi chake upya ikiwa ni pamoja na safu ya ushambuliaji, kwa sasa inaelezwa kuwa kuna mshambuliaji ambaye anacheza ndani ya Kaizer Chiefs, Kambole huenda akasajiliwa na Yanga msimu ujao. Pia inasaka beki ambaye atakuwa mbadala wa nahodha Lamine Moro

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI