VIDEO: YANGA KUSUKA UPYA KIKOSI CHAKE, KUNA BEKI MBENINI PIA AINGIA ANGA ZAO

IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kusuka kikosi chake upya ikiwa ni pamoja na safu ya ushambuliaji, kwa sasa inaelezwa kuwa kuna mshambuliaji ambaye anacheza ndani ya Kaizer Chiefs, Kambole huenda akasajiliwa na Yanga msimu ujao. Pia inasaka beki ambaye atakuwa mbadala wa nahodha Lamine Moro

 



Comments

Popular posts from this blog

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

KOCHA BIASHARA UNITED: WACHEZAJI NIMEWAPA KAZI YA KUPAMBANA NA JEZI YA NJANO

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI