NYOTA WATATU SIMBA WAWANIA TUZO


 NYOTA watatu wa kikosi cha Simba wameingia katika kinyang'anyiro cha kusaka mchezaji bora wa mwezi Mei.

Tuzo hiyo ni maalumu kwa ajili ya mashabiki kuweza kuchagua mchezaji ambaye wanaona anastahili kusepa na tuzo hiyo  kutokana na kile ambacho amekifanya katika mwezi husika.

Mchezaji wa kwanza kusepa na tuzo hiyo ambayo inadhaminiwa na Emirate Aluminium Profile alikuwa ni kiungo, Luis Miquissone na kwa mwezi Aprili ni Clatous Chama alisepa na tuzo hiyo.

Wachezaji ambao wanawania tuzo hiyo ni pamoja na John Bocco ambaye ni nahodha, Bernard Morrison ambaye ni kiungo na Taddeo Lwanga yeye ni mkata umeme.



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO