HATMA YA RAMOS REAL MADRD KUJULIKANA MWEZI HUU


JUNI inaonekana kuwa itakuwa ni mwisho wa nyota wa kikosi cha Real Madrid, Sergio Ramos kufahamu kwamba atabaki ndani ya kikosi hicho ama atasepa mazima.

Mkataba wa nahodha huyo ndani ya kikosi hicho unameguka mwezi huu na mpaka sasa hakuna dalili zozote za kuzungumzia mkataba huo.

Ramos mwenyewe wala Madrid hakuna ambaye ametoa taarifa kuhusu ishu ya dili lake hivyo mwezi huu hatma yake itajulikana namna itakavyokuwa.

Ramos alijiunga na timu hiyo 2005 na amekaa kwa zaidi ya miaka 15 na amefanikiwa kutwaa mataji 22 pia ana mataji matatu ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO