BREAKING: YANGA WATHIBITISHA KUACHANA NA CARINHOS

 


BREAKING: Yanga wamethibitisha kuvunja mkataba na kiungo wao  Carlos Carlinhos raia wa Angola ambaye alikuwa nje ya uwanja kwa muda akitibu majeraha yake ambayo aliyapata kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Tanzania Prisons.

Taarifa rasmi iliyotolewa na Yanga imeeleza kuwa wamefikia makubaliano ya kusitisha mkataba wake kwa pande zote mbili kukaa chini.

Pia Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi imemshukuru kiungo huyo kwa huduma yake ndani ya Yanga. 

Taarifa hiyo imeeleza namna hii:-



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO