HAWA HAPA SITA WA YANGA KUIKOSA TANZANIA PRISONS LEO


 IKIWA leo Yanga inamenyana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho ni rasmi itawakosa nyota wake sita kutokana na sababu mbalimbali.


Mchezo wa leo unakuwa ni wa pili kwa Kocha Mkuu, Nassredine Nabi kukaa kwenye benchi baada ya ule wa kwanza kuwa dhidi ya Azam FC na ubao ulisoma Yanga 0-1 Azam FC.

Hawa hapa nyota sita ambao wataukosa mchezo wa leo:-


Dickson Job yeye ni beki wa kati anasumbuliwa na nyama za paja.

Tuisila Kisinda yeye anasumbuliwa na bega.

Yassin Mustapha Majeruhi

Tonombe Mukoko anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.

Michael Sarpong  anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.

Feisal Salum anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.


Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO