HAWA HAPA SITA WA YANGA KUIKOSA TANZANIA PRISONS LEO


 IKIWA leo Yanga inamenyana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho ni rasmi itawakosa nyota wake sita kutokana na sababu mbalimbali.


Mchezo wa leo unakuwa ni wa pili kwa Kocha Mkuu, Nassredine Nabi kukaa kwenye benchi baada ya ule wa kwanza kuwa dhidi ya Azam FC na ubao ulisoma Yanga 0-1 Azam FC.

Hawa hapa nyota sita ambao wataukosa mchezo wa leo:-


Dickson Job yeye ni beki wa kati anasumbuliwa na nyama za paja.

Tuisila Kisinda yeye anasumbuliwa na bega.

Yassin Mustapha Majeruhi

Tonombe Mukoko anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.

Michael Sarpong  anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.

Feisal Salum anatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.


Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA