VIDEO: SIMBA WAPIGA MAZOEZI KWENYE MVUA, WASHINDA MABAO 2-1

MASTAA wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes wameanza mazoezi kwenye Uwanja wa Simba Mo Arena uliopo maeneo ya Bunju, jana Machi 29, walifanya mazoezi hayo licha ya mvua kunyesha na walicheza mchezo wa kujipima nguvu na Simba B ambapo Simba ilishinda mabao 2-1. 

Haya ni maandalizi kwa ajili ya mechi za kimataifa pamoja na Kombe la Shirikisho ambapo Aprili 4 itakuwa na mchezo wa kimataifa dhidi ya AS Vita utakaochezwa Uwanja wa Mkapa.

 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA