VIDEO: MFARANSA WA SIMBA GOMES AZITAKA POINTI TATU ZA AS VITA

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes, raia wa Ufaransa amesema kuwa maandalizi ambayo wanayafanya kwa sasa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita ya Congo yanakwenda vizuri na wana amini kwamba watapata matokeo chanya. 

Simba inaendelea na mazoezi kwenye Viwanja vya Simba Mo Arena ambapo wanatarajiwa kucheza na AS Vita, Aprili 3, Uwanja wa Mkapa.

 Gomes amesema kuwa anahitaji kushinda kwenye mchezo huo ili kupata pointi tatu muhimu.

 



Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO