RASMI KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KENGOLD
LEO Februari 27 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Kengold ya Mbeya ambayo nayo pia inahitaji ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni.
Hiki hapa kikosi rasmi cha Yanga kitakachoanza kusaka tiketi ya kutinga hatua ya 16 bora kwa kuwa leo ni hatua ya 32 bora:-
Faroukh Shikalo
Paul Godfrey
Yassin Mustapha
Juma Makapu
Bakari Mwamnyeto
Farid Mussa
Zawadi Mauya
Feisal Salum
Fiston
Deus Kaseke
Ditram Nchimbi
Hawa ni wa akiba
Metacha
Adeyum
Lamine
Niyonzima
Carlos
Sarpong
Yacouba Songne
Comments
Post a Comment