KIKOSI CHA YANGA KINACHOTARAJIWA KUANZA LEO DHIDI YA KENGOLD YA MBEYA


LEO Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Cedric Kaze ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya kikosi cha Kengold ya Mbeya, Uwanja wa Uhuru.


mchezo huo ni wa hatua ya 32 bora ambapo atakayepoteza anafungashiwa virago mazima ndani ya Kombe la Shirikisho linalotetewa na watani zao wa jadi Simba.


Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuwanza leo Uwanja wa Uhuru namna hii:- Faroukh Shikalo

Shomari Kibwana

Yassin Mustapha

Lamine Moro

Bakari Mwamnyeto

Farid Mussa

Tuisila Kisida

Feisal Salum

Wazir Junior

Deus Kaseke 

Ditram Nchimbi



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA