DISMAS TEN WA YANGA AMTAJA HAJI MANARA WA SIMBA KUWA MSEMAJI BORA

 


OFISA Habari wa zamani wa Klabu ya Yanga, Dismas Ten amesema kuwa kwake yeye ndani ya ardhi ya Tanzania Ofisa Habari bora kwenye vilabu vya soka Tanzania ni Hassan Bumbuli wa Yanga na Idrissa Bandari wa Ndanda FC.
 

Ten amewahi kuwa Ofisa Habari wa Mbeya City na ndani ya Yanga amepitia nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na Kaimu Katibu.


Kupitia Ukurasa wake wa Instagram amesema kuwa kuna tofaiyi kubwa kati ya Ofisa Habari na Msemaji hivyo kwake msemaji bora ni Haji Manara ambaye ni Ofisa Habari wa Simba.


"Linapokuja suala la kuongeza, kuzungumza hakuna kama Haji Manara yeye ni msemaji kweli.

 

"Ipo tofauti kati ya Ofisa Habari na msemaji,".



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI