RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO OKTOBA 31


 LEO Oktoba 31 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi ambapo mechi nne zitachezwa kwa timu nane kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.


Tanzania Prisons v Polisi Tanzania, Uwanja wa Nelson Mandela, saa 8:00 mchana

Namungo FC v Dodoma Jiji, Uwanja wa Majaliwa, saa 10:00 jioni.

Biashara United v Yanga, Uwanja wa Karume, saa 10:00 jioni.

Simba v Mwadui,saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA