RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO HII HAPA


 LEO Novemba Mosi Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kwa mechi mbili ambapo timu nne zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu namna hii:-


Kagera Sugar ambayo imecheza mechi 8 na kujikusanyia pointi 5 itamenyana na Mtibwa Sugar ambayo imecheza mechi 8 na kujikusanyia pointi 11, Uwanja wa Kaitaba.


Ruvu Shooting ambayo imecheza mechi 8 na kujikusanyia pointi 12 itakutana na Coastal Union ambayo imecheza mechi  8 na kujikusanyia pointi 9.



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA