LEO VPL RAUNDI YA NANE INAENDELEA NAMNA HII

 


LEO Oktoba 30 safari ya mzunguko wa tisa wa Ligi Kuu Bara unaendelea ndani ya Bongo ambapo mechi mbili zitachezwa kwa timu nne kusaka pointi tatu ndani ya uwanja.


Gwambina  iliyo nafasi ya 12 na pointi 9 v KMC iliyo nafasi ya 8 na pointi 10, Uwanja wa Gwambina Complex, saa 10;00 jioni.

Azam FC iliyo nafasi ya kwanza na pointi 21 v JKT Tanzania,iliyo nafasi ya 15 na pointi 8 Uwanja wa Azam Complex, saa 1:00 usiku. 



Comments

Popular posts from this blog

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

WAMEANZA NA MAJANGA MSIMU MPYA WA 2021/22, SIMBA WANAWEZA KUKOSA UBINGWA