BREAKING:HASSAN KESSY ASAINI MTIBWA SUGAR

 


NYOTA Hassan Khamis Ramadhan Kessy, beki wa kulia amesajiliwa na Mtibwa Sugar akitokea kwa Mabingwa wa  Ligi Kuu ya Zambia msimu 2019/2020 Nkana Red Devils.

Kessy alikuwa kwenye rada za Yanga ambao walishindwana naye kwenye masuala ya makubalino jambo lililomfanya aibukie ndani ya Mtibwa Sugar akiwa ni mchezaji huru.

Nyota huyo amesaini dili la miaka miwili kutumika ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar wenye maskani yao Morogoro.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI