SABABU ZA MORRISON KUSHIKILIWA NA POLISI DAR HII HAPA


KIUNGO wa Yanga, raia wa Ghana, Bernard Morrison leo alikutana na joto la kukamatwa kwa muda na jeshi la Polisi Tanzania.

Jeshi la Polisi Dar limethibitisha kukamatwa kwa muda kwa Morrison katika kituo cha Oysterbay.

RPC wa Kinondoni, Rodgers Bukombe amesema kuwa Morrison alikamatwa baada ya kupishana maneno na askari waliotilia shaka gari lake.




Comments

Popular posts from this blog

SIMBA KUBADILI KIKOSI MBELE YA TP MAZEMBE AMBAO WATABADILI MFUMO KESHO

SIMBA YAJIFUA LEO SUMBAWANGA KUELEKEA MCHEZO WA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MCHEZO MZIMA WA YANGA KUINYOOSHA AIGLE NOIR KWA MKAPA ULICHEZWA HIVI