DUCHU WA LIPULI AMALIZANA NA SIMBA, AJIFUNGA MIAKA MIWILI


DAVID Kameta,'Duchu' beki wa Klabu ya Lipuli FC inaelezwa kuwa amesaini kandarasi ya miaka miwili ndani ya Klabu ya Simba.

Beki huyo msimu huu amekuwa kwenye ubora wake ndani ya Lipuli ambapo amefunga mabao matatu na kutoa pasi saba za mabao.

Timu yake ya Lipuli imeshuka daraja baada ya kufikisha pointi 44 ikiwa nafasi ya 18 hivyo msimu ujao itashiriki Ligi Daraja la Kwanza.





Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO