SIMBA YAIPANGIA AZAM FC KIKOSI KAZI NAMNA HII


IKIWA kesho wanakutana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya robo fainali, Uongozi wa Simba umepanga kikosi kazi cha Azam FC ambacho ni hatari kikiwa uwanjani. 

Simba itamenyana na Azam FC Uwanja wa Taifa majira ya saa 1:00 usiku.

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara kupitia Ukurasa wake wa Instagram amewapanga namna hii huku akisema kuwa hajatazama wale ambao wapo nje ya nchi kutokana na 'loc down':-Razack Abarola amemuweka langoni.

Agrey Morris amesema kama ana miaka 20 hivi

 Yakub Mohamed

 Mudhathir Yahaya amesema ni mpiganaji uwanjani

Salum Abubakar, 'Sure Boy' amesema ni mpiga pasi bora.

Idd Kipagwile

 Idd Naldo mtihani mkubwa

 Obrey Chirwa

 Shaban Chilunda





Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO