MOTO WA KUNDI A ACHA KABISA, CHEKI NAMNA VITA ILIVYO TAMU


MSIMAMO wa Kundi A wa Ligi Daraja la Kwanza, vita kubwa ni nafasi ya kupanda daraja jumlajumla ambapo Dodoma FC na Ihefu zote zinalingana pointi tofauti yao ikiwa ni kwenye idadi ya mabao.

Zote zimebakiwa na mechi mbili mkononi ili kumaliza mzunguko wa pili na kumpata mshindi, cheki ulivyo.




Comments

Popular posts from this blog

FT: VPL:SIMBA 4-0 IHEFU

KOCHA BIASHARA UNITED: WACHEZAJI NIMEWAPA KAZI YA KUPAMBANA NA JEZI YA NJANO

SIMBA NA YANGA MSIBEBE MATOKEO UWANJANI