SERIKALI YATOA MUONGOZO RASMI UTAKAOTUMIKA KWENYE MASUALA YA MICHEZO

SERIKALI leo, Mei 31 imetoa mwongozo wa kufuata katika michezo ya ligi kuu za soka nchini ambazo zinatarajiwa kuanza Juni Mosi, 2020.





Katibu Mkuu Wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na MsemajI Mkuu wa Serikali, Dr. Hassan Abbas amesema kuwa ni muhimu kuzingatia na kwa yoyote atakayekiuka taratibu hizo hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.





Comments

Popular posts from this blog

ISHU YA MORRISON KUHUSU MKATABA WAKE IPO MIKONONI MWA KAMATI YA SHERIA NA HADHI ZA WACHEZAJI

BREAKING: MASHABIKI RUKSA KWENDA UWANJANI, UTARATIBU WATAJWA

AFRICAN LYON WADAI KUWA WAZO LA VISIT TANZANIA NA LOGO MPYA YA SIMBA IMETOKA KWAO